Pata mautamu mbali mbali kupitia blog hii ya Mautamu Nyang'anyang'aaa ya TZ & nje za Nchi
Friday, 21 March 2014
DAAH ETI KUMBE WACHAWI NAO NI WAOGA HIVI KUMBE..CHEKI WALIVYOFANYWA.
Kuna jamaa alilala juu ya mti kumbe chn ya mti ule wachawi wanakutana,walpofka pale wakaanza kujitambulisha mimi mchawi kutoka Sumbawanga. Mimi mchawi kutoka Tanga, mimi kutoka Naijeria, mimi kutoka Kongo. Jamaa anawasikiliza tu akatokea mmoja mimi mchawi kutoka Afughanistani,,jamaa akasema mmh huyu atajilipua hawachelewagi hawa akaruka puu! nae akajitambulisha mm ni mchawi toka MBINGUN wote mbiiooooh!.....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment