Diamond platinuma (Nasibu Abdul) majira ya jioni akiwa anafanya mazoezi ya kutegeneza mwili wake uwe asali zaid kwa warembo inasemekana hupenda kupiga uzito wa kilo60 lakini hii siku ilikuwa ngumu kupiga hiyo kilo inamaana diamond hivi sasa anapoteza nguvu mwilini mwake kutokana kutozingatia ushauri aliyopewa na daktari wake.tunafuatilia habari zaidi tukujuze,Je! ushauri gani alipewa na daktari wake....?kuwa nasi tutakuhabarisha zaidi ahsante.
mmmh!jombaa anajikakamua balaaa
ReplyDelete