Pata mautamu mbali mbali kupitia blog hii ya Mautamu Nyang'anyang'aaa ya TZ & nje za Nchi
Friday, 7 March 2014
Je!wajuaaa????Diamond yupo katika harakati ya kutoa wimbo wake mpyaaa watu hujiuliza amaetoa number one, Je!! sasa atatoa number two???
MR.Diamond platinum(Nasibu Abdul) ni mtu wakujipanga sanaa kwenye kutoa ngoma zake(wimbo) inasemekana diamond yupo kwenye harakati za kutoa wimbo wake mpya lakini huu wimbo utaambatana na movie yake mpya ambayo ipo kwenye mchakato sasa kaa tayari kwa kuachiwa vitu vitamu kutoka kwake diamond platinum akiwa na wema sepetu mpo tayariiii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment